………
Na Ester Maile Dodoma
Chama cha Wataalamu waradiogrofia Tanzania TARA imeiomba Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala bora iweze kukitambua chama hicho kibingwa na kibobezi .
Hayo yameelezwa leo 27 Novemba 2025 jijini Dodoma katika ukumbi wa Midland Hotel walipo kuwa wanafanya mkutano wa mwisho aa mwaka wa chama.


