WAZIRI KAIRUKI: HUDUMA ZA MTANDAO NA MAWASILIANO KATIKA MWENDOKASI ZINAREJESHWA

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki amesema Serikali itahakikisha huduma za mitandao na mawasiliano katika miundombinu ya usafiri wa mwendokasi zinarejea kikamilifu kama ilivyokuwa awali. Akizungumza wakati wa ukaguzi wa utekelezaji wa maagizo ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za usafiri katika njia ya Kimara, Waziri…

Read More

MRADI WA TRILIONI 1.57 KUCHOCHEA MAGEUZI YA KILIMO KILWA

 ::::::::::: Serikali imekabidhi ardhi kwa kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa kilimo na viwanda wenye thamani ya Sh trilioni 1.57 katika Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi. Makabidhiano hayo yanahusisha mashamba ya vijiji vya Mavuji, Migeregere, Nainokwe na Liwiti, ambavyo vimetengwa mahsusi kwa uendelezaji wa miundombinu ya kisasa…

Read More

Shinda Samsung Galaxy A26 Ukijiunga Na Meridianbet

MERIDIANBET inazidi kuleta furaha kwa wapenzi wa kubashiri. Sasa unaweza kushinda moja kati ya simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy A26 kwa kushiriki kwenye promosheni ya kipekee ya Meridianbet. Fursa hii ipo kwa wote wanaojisajili kupitia tovuti au app ya Meridianbet, nafasi yako ya kubadilisha simu yako ya zamani kwa mpya kabisa ipo mbele…

Read More

Dk Ashatu awahakikishia watalii Tanzania ni salama

Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, amesema kuwa Tanzania ni salama na kuwakaribisha watalii kutoka nchi mbalimbali ili kujionea vivutio mbalimbali. Dk Kijaji ambaye ameongozana na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dk Hassan Abbas,wako jijini Arusha,wakitembelea hifadhi mbalimbali kujiunza na kujionea shughuli…

Read More

Ulega akemea uharibifu taa za barabarani Arusha

Arumeru. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka wananchi wa Wilaya ya Arumeru kutunza miundombinu ikiwemo taa za barabarani na kwamba ni aibu kuharibiwa kwa miundombinu hiyo inayomnufaisha kila mtumiaji wa barabara. Aidha, amemwagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Arusha, Mhandisi Reginald Massawe, kufunga taa za barabarani katika eneo la Malula lenye…

Read More

Hati ya Ekari 62,000 Yakabidhiwa kwa Mradi wa Dola Milioni 640 wa Kilimo Biashara Kilwa

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv  SERIKALI imekabidhi hati isiyo asili (derivative title) kwa Kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd kama hatua muhimu ya kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kilimo na kuongeza thamani ya ardhi inayotumika kwa shughuli za uzalishaji. Hati hiyo wamekabidhiwa na  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania…

Read More