MSAMA: TUWAPUUZE WANAOLIPWA KUVURUGA AMANI YETU
Mfanyabiashara malufu nchi Tanzania Ndugu Alex Msama amewataka Watanzania kuwapuuza watu ambao wanalipwa ili kuvuruga amani ya nchi yetu ya Tanzania na mara nyingi sio Watanzania na baadhi yao ni Watanzania wanaoishi nje ya nchi kama vile Kenya na mataifa mengine ya nje. “Watanzania wenzangu, nawasihi kwa moyo mmoja tuwapuuze watu wanaotaka kuvuruga amani yetu,…