Rasilimali watu sekta ya afya itakavyoboresha maisha

Dar es Salaam. Wadau wa sekta ya afya Tanzania, wamesema kwenye utoaji na wigo wa huduma za afya bado kuna pengo kubwa, wakisisitiza namna ongezeko la ajira za wahudumu wa afya litakavyosaidia kuboresha maisha ya Watanzania. Wamesema licha ya Serikali kuboresha na kuongeza miundombinu katika sekta hiyo bado vifaa vingi vinashindwa kutumika, huku ugunduzi wa…

Read More

Watunisha misuli wanne watua na medali

WATANZANIA wanne wamerejea nyumbani kibabe baada ya kunyakua medali mbalimbali za mashindano ya Watunisha Misuli (WFF Africa Bodybuilding and Fitness Championship Pro Qualifier 2025) yaliyofanyika siku mbili huko Zambia. Zambia ilizindua rasmi mashindano hayo ikiwa ni mwaka wa pili mfululizo kwa nchi hiyo kuandaa mashindano haya makubwa ya watunisha misuli Afrika, ambapo George Kajula alibeba…

Read More