Mitazamo tofauti adhabu ya viboko bajaji, bodaboda wanaovunja sheria
Dar es Salaam. Kitendo cha baadhi ya askari wa usalama barabarani (trafiki) jijini Dar es Salaam kutumia fimbo kuwaadhibu madereva wa bajaji na bodaboda wanaokiuka sheria, ikiwamo kuingia kwenye barabara maalumu za Mabasi Yaendayo Kasi (BRT), kimezua mjadala miongoni mwa wananchi. Madereva wa bajaji na bodaboda wamedaiwa kukiuka Sheria ya Usalama Barabarani (Road Traffic Act,…