Maswa yajipanga kuokoa watoto njiti, yasambaza vifaa tiba
Maswa. Hospitali ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imeendelea kuboresha huduma kwa watoto njiti na wenye uzito pungufu, kwa kusambaza mashine maalumu za kuwahudumia watoto wachanga katika vituo kadhaa vya afya. Lengo ni kuhakikisha huduma hizo zinawafikia wananchi kwa urahisi. Vifaa vilivyosambazwa vinajumuisha mashine za kurekebisha joto la mwili wa mtoto mchanga pamoja na mashine za kutibu…