Hamza kumfuata Camara Morocco kwa matibabu
WAKATI kipa namba moja wa Simba, Moussa Camara akitarajiwa kufanyiwa upasuaji kesho Jumanne Novemba 18, 2025 huko Morocco, beki wa kati Abdulrazack Mohamed Hamza naye ametajwa kuwa mbioni kwenda nchini humo kwa ajili ya matibabu ya goti. Camara ambaye huu ni msimu wake wa pili akiwa na wekundu hao wa Msimbazi, aliondoka nchini jana Jumapili…