Maximo, KMC lolote litatokea | Mwanaspoti

KAIMU Ofisa Mtendaji Mkuu wa KMC (CEO), Daniel Madenyeka, amesema licha ya mwenendo usioridhisha wa kikosi hicho katika Ligi Kuu Bara, suala la kuachana na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo, bado halijafikia uamuzi wa mwisho. Akizungumza na Mwanaspoti, Madenyeka amesema hakuna kiongozi anayefurahishwa na mwenendo wa timu hiyo kwa sasa, ingawa hawawezi kufanya…

Read More

Watanzania wahamasishwa kuhubiri haki ili kuilinda amani

Njombe. Jamii ya Watanzania imeshauriwa kumrudia Mungu kwa kuhakikisha inatenda mambo mema na kuhubiri haki ili kutunza na kuilinda amani iliyopo hapa nchini. Ushauri huo umetolewa leo Novemba 16, 2025 na Mwinjilisti wa Kanisa la Waadventisti Wasabato, Mkoa wa Njombe, Andrew Chikwanda wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani Njombe. Mwinjilisti huyo ameyasema hayo zikiwa…

Read More

Alliance Girls akili ipo kwenye ubingwa

KOCHA Mkuu wa Alliance Girls ya Mwanza, Sultan Juma amesema kikosi chake kiko vizuri na kimefanya maandalizi ya kutosha jambo linakompa imani watafanya vyema katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara na kumaliza nafasi nne za juu. Alliance Gilrs itacheza mechi ya kwanza ya WPL keshokutwa Jumatano dhidi ya Ceassia Queens kwenye Uwanja wa Nyamagana, baada…

Read More

Watanzania waandika rekodi CAF | Mwanaspoti

KWA mara nyingine Wabongo wawili wanaokipiga FC Masar ya Misri, Hasnath Ubamba na Violeth Nickolaus, wameandika rekodi ya kutinga nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutoka sare ya 1-1 na USFAS kwenye mechi ya kundi A. Mechi hiyo ilipigwa kwenye Uwanja wa Right to Dream, Masar wakiwa wenyeji wa mashindano…

Read More

Usafishaji huanza – maswala ya ulimwengu

Makutano ya washiriki – pamoja na maafisa wa UN, kujitolea, na wakaazi ambao walirudi hivi karibuni kutoka kusini mwa strip – walishiriki katika shughuli za katikati mwa jiji. Mshiriki mmoja, mwanamke aliye kwenye kiti cha magurudumu, alishikilia ishara ya kusoma “Tutaunda tena Gaza” kuelezea msaada wake kwa kampeni. Amjad al-Shawa, mkurugenzi wa Mtandao wa NGO…

Read More

Kilo 500 za taka zaondolewa Mlima Kilimanjaro, wadau waonya

Moshi. Kampeni maalumu ya usafi iliyofanyika kwa siku tano katika hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro imefanikisha kuondolewa kwa zaidi ya kilo 500 za taka katika maeneo mbalimbali ya hifadhi hiyo, hatua inayotajwa kuwa muhimu katika kulinda uhalisia na usalama wa kivutio hicho maarufu duniani. Kampeni hiyo ilihusisha zaidi ya watu 43 wakiwemo wapagazi, waongoza watalii,…

Read More