Aliyembaka mtoto wa kambo akwaa kisiki mahakamani
Arusha. Mahakama ya Rufaa iliyoketi Dodoma, imetupilia mbali ombi la John Ngonda, aliyehukumiwa kifungo cha maisha jela, aliyekuwa akiomba kuongezewa muda wa kuwasilisha maombi ya mapitio ya uamuzi wa awali wa Mahakama ya Rufaa. Ngonda alihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Kiteto baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto…