Penzi la mitego linavyowaliza wanawake kiuchumi
Dar es Salaam. Hali ikiwa ya utulivu, kila mmoja akiendelea na lake ndani ya saluni ya kike iliyopo Mwenge, msichana mwenye umri wa miaka 26 anapaza sauti inayoashiria kukata tamaa. “Natafuta mganga mzuri ambaye anaweza kunisaidia… nina janga, sielewi nalitatua vipi.” Ni kauli iliyotoka kwa mtu aliyelemewa mzigo wa deni ndani ya kikundi cha kuweka…