Chunga ‘x’ wako anapoamua kuramba matapishi yake

Katika ulimwengu wa uhusiano wa kimapenzi, si jambo geni kusikia au kushuhudia mwenza akiachana na mpenzi wake na kisha kurudi baada ya wiki, miezi au hata miaka. Lakini ni nini hasa humsukuma mwenza kurejea kwenye uhusiano aliouacha mwenyewe? Je, ni mapenzi ya dhati au ni mazoea tu yanayomrudisha? Mara nyingi, watu hugundua thamani ya kitu…

Read More

Kanga zinavyobeba ujumbe kwenye ndoa

Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, kanga imekuwa zaidi ya vazi la mwanamke. Ni sauti isiyo na mdomo, ujumbe usio na herufi kubwa, na ishara ya mawasiliano ya kipekee katika jamii ya Kiswahili. Wengi huiona kama kipande cha nguo kinachopamba mwili, lakini ndani yake kumejificha hekima, hila, na busara ambazo zimekuwa zikiendesha uhusiano wa kifamilia…

Read More

Kocha Barberian ana kazi ya kufanya Championship

BAADA ya Barberian kuchapwa mechi nne mfulilizo za Ligi ya Championship msimu huu, kocha wa kikosi hicho, Moris Katumbo ‘Kamongo’, amesema tatizo kubwa linaloikabili timu hiyo ni kukosa balansi katika eneo la kujilinda na la ushambuliaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Kamongo amesema wachezaji wa timu hiyo kijumla wanacheza vizuri, japo muunganiko baina ya mmoja na mwingine…

Read More

Faida za tendo la ndoa kwa wanandoa

Nia na madhumuni ya makala haya sio kuchochea ufanywaji wa tendo la ndoa kwa wasio wanandoa, bali kujaribu kuongeza ujuzi na ufahamu na uboreshwaji wa mazingira ya tendo hili kwa wanandoa. Hii inatokana na ukweli kwamba, kati ya wateja wanaokuja ofisini kwangu (mimi kama mshauri wa kisaikolojia) asilimia zaidi ya 80 hu-susani wanawake wamekuwa wakielezea…

Read More