Golini Simba pasua kichwa! | Mwanaspoti
JUZI Simba ilitoa ripoti ya kumkosa kipa namba moja, Moussa Camara, kwa kati ya wiki nane hadi 10 ikiwa siyo taarifa njema kwa mashabiki wa timu hiyo, licha ya uwepo wa kipa namba moja wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Yakoub Suleiman. Kukosekana…