Wapalestina wa ‘Mobs’ wanaolenga katika Benki ya Magharibi, kama mafuriko Roil Gaza – Maswala ya Ulimwenguni

Ohchr Walihukumiwa mashambulio ya wiki hii kama ya kuchukiza na wakasema walionyesha muundo mpana wa vurugu dhidi ya Wapalestina. Watu kadhaa waliripotiwa kujeruhiwa katika shambulio hilo, ambalo ni pamoja na uvamizi kwenye kiwanda cha maziwa, wakati malori ya utoaji na nyumba ziliwekwa moto. Kuongezeka kwa vurugu kunakuja wakati viongozi wa Israeli pia wameongeza uharibifu wa…

Read More

Vi Agroforestry lapanda miti milioni 163 Afrika Mashariki

Musoma. Shirika lisilokuwa la kiserikali la Vi Agroforestry limepanda miti zaidi ya milioni 163 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda katika kipindi cha miaka kumi iliyopita huku lengo kuu likiwa ni kukabiliana na athari zinazoendelea kutokea kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Takwimu hizo zimetolewa na Ofisa Mazingira, Bioanuai na Mabadiliko ya Tabianchi kutoka shirika…

Read More

Kanisa Anglikana lawanoa walimu wa Sunday School

Kibaha. Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam limeanza rasmi mafunzo kwa walimu wa Shule ya Jumapili (Sunday School) katika Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, yakilenga kuwaongezea uwezo wa ufundishaji wa masomo ya dini kwa kutumia mbinu za kisasa na zenye weledi zaidi. Mafunzo hayo, yaliyofanyika leo Novemba 15, 2025 katika Achidikonari ya Kibaha, yanatolewa…

Read More

Wadau walivyopokea ahadi ya Samia ajira za walimu

Dar es Salaam. Wimbi la msongamano katika shule za msingi na sekondari nchini limepata mwelekeo mpya, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza ajira 7,000 za walimu zitakazotolewa ndani ya siku 100 za kwanza za Serikali anayoiongoza. Hata hivyo, wadau licha ya kupongeza hatua hiyo, wana hofu ya uhimilivu wake kwa miaka ijayo na hata…

Read More

Wabuni mfumo masoko ya mazao kudhibiti madalali

Arusha. Taasisi ya Sotech imetengeneza mfumo wa kisasa wa kusaidia wakulima kuuza mazao yao kwa njia ya mtandao, ili kusaidia wakulima kuondokana na changamoto ya soko na ukosefu wa taarifa zake sahihi. Mfumo huo ujulikanao kama Kikapu, umeanzishwa kuwasaidia wakulima kuunganishwa na masoko moja kwa moja pamoja na uhifadhi wa taarifa za mauzo kwa wakulima,…

Read More

Rais Mwinyi kuwaapisha mawaziri wapya leo

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo anawaapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni. Katika kiapo hicho, Wizara nne kati ya 20 hazitakuwa na Mawaziri ambao bado wanasubiri mchakato wa Chama cha ACT – Wazalendo iwapo kitaamua kuingia ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) au vinginevyo. Wizara ambazo mawaziri wake bado hawajateuliwa ni…

Read More

Hersi: Yanga inakwenda kutimiza ndoto ya watoto Bongo

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema gharama za ada kwa Yanga Soccer School itategemea na maeneo ili kuhakikisha ndoto ya kila mtoto kuwa mchezaji inatimia. Leo, Yanga imezindua Yanga Soccer School kwa lengo la kuendeleza vipaji vya watoto, ambapo mgeni rasmi katika shughuli hiyo alikuwa kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini,…

Read More

Vijana kupenda ‘mishangazi’ ni zaidi ya kufuata fedha

Dar es Salaam. Ni msemo uliozoelekea mitaani kuwa wanawake wenye umri mkubwa ni benki za vijana. Ukiwa umejaa utani na kejeli, msemo huo unaakisi mitazamo ya kijamii kuhusu vijana wa kiume wanaopenda wanawake wanaowazidi umri. Wengi huamini vijana hao wanatafuta faraja ya kifedha, msaada wa kimaisha au hadhi, ikiwa ni utamaduni mpya uliojitokeza miaka ya…

Read More