TEC yahimiza uchunguzi huru vurugu Oktoba 29, Katiba Mpya

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limekemea vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, huku likitoa wito wa uchunguzi huru utakaoshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa kidemokrasia ufanyike. Mbali na hilo, TEC limetaka watu wote waliokamatwa kabla, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi kuachiwa huru. Sambamba na hilo, baraza hilo, limekumbushia kuanza kwa mchakato…

Read More

Daktari abainisha njia sita kuzuia UTI

Dar es Salaam. Wakati maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) yakiongezeka kwa kasi na kugeuka chanzo cha mateso hususani kwa wanawake, wataalamu wa afya wanasema tatizo hilo linaweza kuzuiwa kwa kufuata kanuni za afya pasipo ulazima wa tiba. Tafiti zinaonyesha mwanamke mmoja kati ya wawili nchini Uingereza hupata maambukizi hayo angalau mara moja katika maisha…

Read More

Waandamanaji wa Asili wanazuia kiingilio cha Cop30, hatua ya mahitaji kutoka serikali ya Brazil – maswala ya ulimwengu

Munduruku, ambao wanaishi kimsingi katika majimbo ya Amazon ya Amazonas, Mato Grosso na Pará, wanadai kukomeshwa kwa miradi na shughuli za ziada ambazo zinatishia maeneo ya asilia, haswa katika mabonde ya Mto wa Tapajós na Xingu. Maandamano ya ‘halali’ na majibu ya serikali Mkurugenzi Mtendaji wa COP30 Ana Toni alielezea maandamano hayo kama “halali” na…

Read More

BALOZI MULAMULA ASHIRIKI UZINDUZI WA BUNGE,APONGEZA HOTUBA YA DK.SAMIA YENYE WELEDI WA KUJENGA TAIFA IMARA

:::::::::   Mjumbe Maalumu wa Masuala ya wanawake, Amani na Usalama katika Bara la Afrika, Balozi Liberata Mulamula, amepongeza hotuba nzuri ya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan yenye weledi wa kuijenga Tanzania moja kupitia maridhiano.  Balozi Mulamula ameyasema hayo, Leo, jijini Dodoma, aliposhiriki mkutano wa uzinduzi wa Bunge la 13 na kusikiliza hotuba ya Rais Dk.Samia….

Read More