Fei Toto avunja ukimya, asema jambo Azam FC
MASHABIKI wa Azam FC walikuwa na hofu kubwa ya kumkosa kiungo mshambuliaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyechomolewa timu ya taifa, Taifa Stars kwa sababu ya majeraha, lakini hofu hiyo ni kama inayeyuka baada ya nyota huyo kuvunja ukimya na kuwapa faraja. …