Njaa ya Belém, Azimio la Umasikini huweka idadi ya watu walio hatarini zaidi ulimwenguni katikati ya sera ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Juliana Kerexu Mirim Mariano, mratibu wa Tume ya Guarani Yvyrupa ambayo inatetea haki za watu wa Guarani kusini na kusini mashariki mwa Brazil. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Belém, Brazil) Ijumaa, Novemba 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Belém, Brazil, Novemba 14 (IPS) – Mwanamke mchanga huko Cop30 anaongea juu ya kurudisha nyayo…

Read More

Zidisha Ushindi Wako na Live In-Play Booster Sasa

JE, unajua kuwa ukiwa na Live In-Play Booster ni rahisi kutengeneza pesa kila sekunde? Kwani hiyo sekunde na dakika zinaweza kukuletea utofauti mkubwa kati ya ushindi wa kawaida na ushindi mkubwa zaidi. Kutokana na hilo Meridianbet wamemua kuja na Live In-Play Booster ambayo hii ni kwaajili ya kumpa kila mteja wa Meridianbet fursa nzuri kabisa…

Read More

Meridianbet Watoa Msaada Kwa Mrc Rehabilitation Centre Kupitia Mradi Wao Wa CSR

KAMPUNI inayoongoza katika michezo ya kubashiri nchini, Meridianbet Tanzania, imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kusaidia jamii kwa kutoa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu kwa kituo cha MRC Rehabilitation Centre kilichopo Dar es Salaam. Msaada huo uliojumuisha mchele, unga wa sembe, mafuta ya kupikia, sabuni za kufulia na mahitaji mengine muhimu ya nyumbani, umekabidhiwa rasmi…

Read More

Kesi ya ‘Dk Manguruwe’, yaiva, DPP aruhusu isikilizwe Kisutu

Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya(40), maarufu   Dk Manguruwe, umekamilika. Wakili wa Serikali, Frank Rimoy ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Novemba 14, 2025 wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mkondya na mwenzake, Rweyemamu John(59), ambaye ni Mkaguzi wa…

Read More

KAULI YA BAKWATA DHIDI YA YALIYOJIRI OCT 29 MWAKA HUU

………………. Baraza Kuu la Waisalamu Tanzania (BAKWATA) kwa kushirikiana na taasisi washirika limetoa tamko juu ya matukio yaliyotokea toka Oktoba 29. “Siku ile ya kupiga kura kulizuka genge lililokuwa likiwatisha watu kwa kupora mali na kuharibu mali pamoja na miundo mbinu mbalimbali. Kutokana na vitendo hivi vya kihalifu ambao vililazimu vyombo vyetu vya usalama kudhibiti…

Read More

Wanaofanya ukatili kidijitali waonywa | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kuanza kwa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani zinazoanza Novemba 25 hadi Desemba 20, Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimeonya ukatili wa kijinsia mtandaoni unaofanywa na watu wenye nia ovu. Ukatili kwa wanawake na wasichana mtandaoni kama kusambaza picha/video za faragha bila…

Read More

RAIS SAMIA ATANGAZA MSAMAHA KWA VIJANA WALIOKAMATWA KWA UHAINI

*Asema wengi walifuata mkumbo Oktoba 29,atoa maelekezo kuangaliwa viwango vya makosa *Asisitiza kama Taifa linaendelea kujifunza na kujirekebisha,aizungumzia demokrasia  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika vurugu zilizotokea Oktoba 29 mwaka huu wapo vijana wengi ambao wamekamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uhaini kwatojua wanachokifanya hivyo ametangaza msamaha kulingana na kiwango cha…

Read More

Azam FC yashusha vichwa viwili matata

BODI  ya Azam Football Club imemtangaza rasmi Octavi Anoro (42), raia wa Hispania, kuwa Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu hiyo, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomalizika mwaka 2027. Anoro anachukua nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya aliyekuwa CEO, Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat, kupandishwa cheo na kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa…

Read More