RAIS SAMIA: VIJANA WA TANZANIA MSIKUBALI KUSHAWISHIWA KUICHOMA NCHI YENU
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa vijana wa Taifa hili wasikubali hata siku moja kushawishiwa kuichoma nchi yao wenyewe na kusisitiza wasikubali kukata tawi la mti ambao wameukalia. Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma alipokuwa akizindua Bunge la Tanzania la 13,Rais Dk.Samia ambaye ametoa muelekeo…