RWANDA YAIPONGEZA TANZANIA KWA USHIRIKIANO

Tanzania imepongezwa kwa kudumisha upendo na udugu miongoni mwa wananchi wa Afrika Mashariki kwa miongo mingi iliyopita. Balozi wa Rwanda Nchini Kenya Mheshimiwa Ernest Rwamucyo ametoa pongezi hizo leo jijini Nairobi wakati alipotembelea banda la Tanzania kwenye maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi/ Jua…

Read More

Samia ataka walioandamana kwa kufuata mkumbo wasamehewe

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka, kuwafutia makosa vijana wote walioonekana kushiriki maandamano yaliyosababisha vurugu Oktoba 29, mwaka huu, kwa kufuata mkumbo, akisema baadhi yao hawakujua wanachokifanya. Amelifafanua hilo kwa kile alichoeleza, ukiangalia video za maandamano hayo, kulikuwa na vijana walioingia kuandamana kwa kufuata mkumbo na ushabiki, hawakujua wanalolifanya ndio…

Read More

Kipa Tanzania Prisons afichua siri nzito

KIPA wa Tanzania Prisons, Musa Mbisa amezungumzia kitu kilichoongezeka kwa msimu huu akiamini sasa kuwa matukio mengi wakati wa mechi yametawaliwa na ufundi na hilo linafanya timu zijipange kupambania pointi. Ametolea mfano wa mechi dhidi ya Mbeya City waliyoifunga mabao 2-1 namna ilivyokuwa imetawaliwa na matukio mengi ya kiufundi na kilichoamua wamalize dakika 90 kwa…

Read More

Tume kuchunguza vurugu za Oktoba 29

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu amesema Serikali yake itaunda tume maalumu ya kuchunguza vurugu zilizotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ili kujua kiini cha tatizo hilo. Vurugu hizo zilizosababisha vifo vya watu, majeruhi na uharibifu wa miundombinu mali za umma na binafsi pia zilisababisha kusimamishwa kwa shughuli mbalimbali. Samia ametoa msimamo huo …

Read More

Vibonge Kunyimwa Visa? Haya Ndiyo Mapya Kutoka Serikali ya Rais Trump – Global Publishers

Serikali ya Rais Donald Trump inakusudia kuanza kuwanyima visa wahamiaji wa kigeni wenye unene uliopitiliza (vibonge). Inaelezwa kuwa mbali na unene uliopitiliza, wahamiaji wengine wenye changamoto za kiafya ambazo zinaweza kuleta mzigo wa ziada kwa serikali, wanaweza kukataliwa maombi ya visa. Waraka uliotumwa kwa balozi mbalimbali za Marekani duniani umewataka maafisa wa…

Read More

Bakwata, yalaani vurugu Oktoba 29 yagusia maridhiano, suluhu

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesikitishwa na vitendo vya vurugu vilivyotokea Oktoba 29, vilivyosababisha watu kupoteza maisha na uharibifu wa mali za umma na binafsi. Bakwata limesema Oktoba 29, siku ya kupiga kura kulizuka kundi lililokuwa likiwatisha watu, kupora na kuharibu mali, miundombinu mbalimbali ikiwemo kuchoma vitu vya mafuta na ofisi…

Read More