Hii ni ishara msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka zimewadia
Moshi. Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya watu wa makabila wakiwamo Wachaga kurejea makwao wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka, tayari dalili za msimu huo zimeanza kushuhudiwa katikati ya mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro. Miongoni mwa ishara hizo ni maua yenye rangi ya zambarau yanayoanguka kandokando ya barabara na kuupa mji huo mandhari ya…