Usiyoyajua hotuba tatu za Rais Samia bungeni
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipolihutubia Bunge la 12, katika Mkutano wa Pili, Aprili 22, 2021, hotuba yake ilichukua takribani saa moja na dakika 30 (dakika 90). Rais Samia alitoa hotuba hiyo wakati huo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa Job Ndugai huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,…