Bakwata, yalaani vurugu Oktoba 29 yagusia mariadhiano, suluhu

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesikitishwa na vitendo vya vurugu vilivyotokea Oktoba 29, vilivyosababisha watu kupoteza maisha na uharibifu wa mali za umma na binafsi. Bakwata limesema Oktoba 29, siku ya kupiga kura kulizuka kundi lililokuwa likiwatisha watu, kupora na kuharibu mali, miundombinu mbalimbali ikiwemo kuchoma vitu vya mafuta na ofisi…

Read More

Askofu Nkwande: Kilichotokea Oktoba 29 aibu, fedheha walioshiriki mauaji kwa kutoa amri na kushabikia watubu

Mwanza. Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limeadhimisha Misa maalumu ya kuwaombea wote waliofariki na kujeruhiwa, kuwapa pole Watanzania na kuzifariji familia zilizokutwa na madhira ya kupoteza ndugu katika matukio ya vurugu na maandamano yaliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Maandamano yaliyozaa vurugu yalitokea wakati na baada ya siku ya kupiga kura Oktoba 29,…

Read More

Wanayopitia wagonjwa wa kisukari vijijini

Dar es Salaam. Kisukari ni moja ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza ambayo yamekuwa yakiongezeka kwa kasi duniani kote, na Tanzania haiko nyuma katika wimbi hili. Hata hivyo, tatizo kubwa zaidi linalojitokeza ni jinsi wagonjwa wa kisukari wanavyokabiliana na changamoto za kupata huduma bora katika maeneo ya vijijini.  Wakati miji mikubwa ina vituo maalumu vya afya,…

Read More

Kisukari tishio, Tanzania yataja mikakati

Dar es Salaam. Idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani imepanda kwa kasi isiyokuwa ya kawaida, ikifikia zaidi ya watu milioni 800 mwaka huu, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara nne ikilinganishwa na miaka ya 1990.  Ripoti mpya ya jarida maarufu duniani la afya The Lancet, kwa ushirikiano na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonya…

Read More

Misingi utunzaji mazingira katika Uislamu

Uislamu ndio dini ya mwanzo kutoa miongozo na sharia za kulinda na kutunza mazingira, kuhakikisha usalama wake, usawa wake, na ustawi wake, kwa kulinda maji, hewa, ardhi, wanyama, mimea na hata mawe.  Allah Mtukufu amesema: “Yeye ndiye aliyekuumbeni kutoka ardhini na akakuamrisheni kuistawisha” (11: 61). Aidha Allah amekataza uharibifu wa mazingira, akasema “….kuleni na kunyweni…

Read More