Sura ya baraza la mawaziri la Samia
Dar es Salaam. Utabiri kuhusu nafasi ya waziri mkuu umekwisha na tayari Dk Mwigulu Nchemba (50) ameteuliwa na kuidhinishwa na Bunge kushika wadhifa huo. Kituo kinachofuata sasa ni kina nani watakaokuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri, ambalo Rais Samia Suluhu Hassan atakaa na Dk Nchemba kuliteua. Hata hivyo, katika uteuzo huo lolote linaweza kutokea, kwa…