Aucho mambo safi, kuivaa CR Belouizdad

SINGIDA Black Stars inajiandaa kusafiri kwenda Algeria kwa ajili ya pambano la kwanza la makundi la Kundi C la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CR Belouizdad na habari nzuri kwa mashabiki wa klabu hiyo ni kurejea kwa kiungo nyota wa kikosi hicho aliyekuwa majeruhi. Kiungo Khalid Aucho aliyekosa mechi iliyopita ya Ligi Kuu Bara…

Read More