Kimenya akiri mambo magumu Ligi Kuu

NAHODHA wa Tanzania Prisons, Salum Kimenya amesema Ligi Kuu Bara msimu huu ni ngumu, hata hivyo wanajipanga kwa mechi ijayo dhidi ya Tabora United itakayopigwa Novemba 22 kwani, wamejiandaa vizuri kupata pointi tatu ili kujiweka pazuri kiushindani. Prisons itakuwa ugenini katika mechi hiyo itakayopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora na itashuka uwanjani…

Read More

Cheche ataja tatizo Chama la Wana

BAADA ya kucheza dakika 270 bila ushindi, kocha mkuu wa Stand United, Idd Nassor ‘Cheche’ amesema tatizo lililowatesa amepata mwarobaini wake sasa kazi inaanza rasmi akiivimbia Kagera Sugar. Stand United iliyowahi kutamba Ligi Kuu kabla ya kushuka daraja misimu mitano nyuma, msimu uliopita wa Ligi ya Championship ilicheza playoff ya kupanda daraja lakini hesabu ziligoma…

Read More

Mngazija apania kuipandisha JKU | Mwanaspoti

BAADA ya Ali Bakar Mngazija kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa JKU, ameahidi kuipa hadhi timu hiyo kwa kufanyakazi kwa ushirikiano ili kuiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar. Mngazija amechukua nafasi ya Seif Bausi aliyesitishiwa mkataba baada ya kuiongoza katika mechi saba za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, kati ya…

Read More

Watoto hatarini kupata magonjwa yasiyoambukiza kutokana na ulaji mbovu

Moshi. Ulaji usio sahihi kwa watoto umetajwa kuchangia ongezeko la watoto wenye uzito uliopitiliza, hatua inayowaweka katika hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukiza wakiwa bado wadogo. Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mawenzi, Dk Jonas Kessy amesema wazazi wengi wamekuwa wakiwaanzishia watoto vyakula mapema kinyume na maelekezo ya…

Read More

Othman afichua siri ya barua waliyoandikiwa waingie SUK

Pemba. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amefichua kuwa chama hicho kuandikiwa barua na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Zena Said inayowataka kupeleka jina la Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Hata hivyo, kwa mujibu wa Othman maarufu ‘OMO’ hadi sasa bado hawajapeleka jina hilo, kwa madai hawajaridhika na…

Read More