RAIS RUTO APONGEZA UBUNIFU WA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KATIKA MAONESHO YA JUA KALI
Na; OWM (KVAU) – Nairobi Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto amepongeza Wajasiriamali wa Tanzania kwa kuzalisha bidhaa zenye ubora na ubunifu wakati alipotembelea mabanda ya wajasiriamali wa Tanzania katika Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, maarufu kama Nguvu Kazi/Jua Kali, yanayofanyika jijini Nairobi….