TFS Yazindua Mahema ya Kisasa Kunogesha Utalii wa Msituni
Arusha. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) leo umezindua mahema 40 ya kisasa (semi-luxury tents) ili kuboresha huduma za malazi na kuongeza mvuto wa hifadhi zake kwa watalii. Tukio hilo limefanyika katika kiwanda cha TARPO, jijini Arusha, likihusisha wawakilishi wa vituo vya utalii vilivyopewa mahema hayo. Mahema hayo yatasambazwa katika hifadhi za Pugu–Kazimzumbwi (10),…