SERIKALI YAONYESHA DHAMIRA YA KUINUA SEKTA YA HORTICULTURE NCHINI
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imesema dhamira yake ni kuendeleza sekta ya horticulture kama injini muhimu ya mageuzi ya kilimo, ukuaji wa uchumi na ajira nchini, ikiahidi kuimarisha mazingira wezeshi ya uwekezaji, masoko na miundombinu. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi akizungumza kwa niaba ya Katibu…