Azam yaiamsha Namungo | Mwanaspoti

BAADA ya kuambulia pointi moja katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, winga wa Namungo FC, Helbert Lukindo amesema bado wana kazi ngumu kusaka matokeo mazuri kutokana na ugumu wa ligi hiyo msimu huu, hivyo wanaendelea kupambana. Namungo haijawa na matokeo mazuri msimu huu kwani katika mechi sita ilizocheza imekusanya pointi sita sawa…

Read More

Kocha Malindi ataka rekodi mpya ZPL 

KOCHA Msaidizi wa Malindi, Mohamed Salah ‘Richkard’ amesema mabadiliko iliyofanya timu hiyo msimu wa 2025-2026 yanalenga mambo makuu mawili ambayo ni kuuza wachezaji kimataifa na kuweka rekodi ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Amesema timu hiyo kwa sasa ina kiu ya kutwaa ubingwa wa ligi hiyo unaoshikiliwa na Mlandege, ili kuleta ushindani wa…

Read More

Ubakaji wamtupa jela maisha | Mwananchi

Shinyanga. Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga, Yusuph Zahoro amemhukumu Mackighty Julius kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 17, kinyume na kifungu cha sheria namba 130(2)(e) cha Kanuni ya Adhabu. Akisoma hukumu hiyo leo Jumatano, Novemba 12, 2025, Hakimu Zahoro amesema kwa…

Read More

Wakongo wampasua kichwa Ibenge azam

KOCHA wa Azam FC, Florente Ibenge amesema waamuzi wameikwamisha kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo waliyotoka sare ya bao 1-1, lakini hilo ameachana nalo na sasa akili yake iko DR Congo akiwaza namna watakavyotoka na poiti tatu, huku akifungukia ubora wa AS Maniema akifahamu kwamba wapinzani wao hao wana timu yenye rekodi…

Read More

Chobwedo awakubali Ngushi, Kader | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo amewataja Crispin Ngushi wa Mashujaa na Ismail Aziz Kader anayecheza Fountain Gate kwamba anapenda aina ya uchezaji wao na huiga baadhi ya vitu vya kiufundi kwao. Chobwedo aliyejiunga na TRA United msimu uliopita kwa usajili wa dirisha dogo akitokea KenGold alikocheza nusu msimu, alisema kabla ya kuanza…

Read More

Gambo: KMC tuna wakati mgumu sana

BEKI wa KMC, Ismail Gambo amesema kwamba kikosi hicho kipo kwenye wakati mgumu baada ya kufungwa mechi tano mfululizo za Ligi Kuu Bara msimu huu. KMC ambayo imeanza msimu vibaya, inashika mkia ikiwa na pointi tatu katika mechi sita ilizocheza, huku ikishinda moja pekee, ikifunga mabao mawili na kuruhusu kumi. Akizungumza na Mwanaspoti, Gambo alisema…

Read More

Chama la Watanzania bado moja tu CAF

CHAMA la nyota wawili wa Tanzania, FC Masar ya Misri, limefufua matumaini ya kuisaka nafasi ya nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake baada ya juzi Jumanne kuitandika 15 De Agosto mabao 5-0 kwenye Uwanja wa Suez Canal nchini Misri. Nyota hao ni Hasnath Ubamba ambaye amekuwa kikosini hapo kwa takribani…

Read More

Amerika inasimama peke yake ikipuuza kura ya UN juu ya makubaliano ya marufuku ya nyuklia – maswala ya ulimwengu

Katibu Mtendaji wa CTBTO Robert Floyd akihutubia Wafanyikazi, Kituo cha Kimataifa cha Vienna, Vienna, Austria, 2023. Mikopo: Tume ya Maandalizi ya CTBTO na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Novemba 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Novemba 12 (IPS)-Amerika ilichukua hatua nyingine kurudi nyuma-kuvunja safu na Umoja wa Mataifa-wakati ilipiga kura…

Read More

SERIKALI YAJIKITA KUBORESHA MFUMO WA UTOAJI GAWIO

…………….. Na Mwandishi wa OMH Zanzibar. Ofisi ya Msajili wa Hazina (Tanzania) imeshiriki kikao cha wadau cha kuwasilisha Rasimu ya Muongozo wa Uandaaji wa Sera ya Gawio kwa taasisi za uwekezaji wa umma Zanzibar. Kikao hicho, kilichofanyika Jumanne, Novemba 11, 2025, katika ukumbi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA), Zanzibar,…

Read More