Vijana ACT Wazalendo wataja njia kufanikisha maridhiano

Dar es Salaam. Ngome ya vijana wa ACT – Wazalendo imetoa kauli kufuatia vurugu zilizotokana na maandamano ya Oktoba 29, 2025 ikisisitiza maridhiano kuponya Taifa. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa ngome hiyo, Abdul Nondo alipozungumza na waandishi wa leo Jumatano, Novemba 12, 2025 jijini Dar es Salaam. Akisoma maazimio ya ngome hiyo,…

Read More

Serikali yaja na mpango mwingine waliokatisha masomo

Dar es Salaam. Baada ya kilio cha muda mrefu cha wadau wa elimu kufuatia kukosekana kwa usimamizi wa uamuzi wa kuwarejesha shuleni wanafunzi waliokatisha masomo kwa sababu mbalimbali ikiwamo ujauzito, Serikali imekuja na mpango wa utekelezaji wa mwongozo huo. Novemba 24, 2021, Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza uamuzi wa Serikali kuruhusu kurejea shuleni kwa wanafunzi…

Read More

Maandamano ya Oktoba 29 Hayakuwa Halali, TPBA Yatamka – Global Publishers

Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimetoa tamko rasmi kuhusu matukio yaliyojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 hadi Novemba 4, 2025, kikisisitiza umuhimu wa kuheshimu utawala wa sheria, wajibu wa raia, na mipaka ya matumizi ya haki za binadamu. Kupitia tamko lililotolewa leo, TPBA imesema kimechunguza taarifa na tuhuma mbalimbali kutoka taasisi…

Read More

KKKT: Serikali isikilize kilio cha wananchi

Dar es Salaam. Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limetoa wito kwa Serikali kusikiliza na kushughulikia malalamiko ya wananchi kwa namna ya kujenga umoja wa kitaifa na utengamano wa kijamii. Mbali na hilo, Kanisa hilo limeitaka Serikali kuwatendea haki raia wote waliopoteza maisha au walioathiriwa katika maandamano yaliyozaa vurugu wakati na baada ya Uchaguzi…

Read More

Mabadiliko dhaifu ya Syria yalitishiwa na mapungufu makubwa ya misaada na kuongezeka kwa kutekwa nyara, UN inaonya – maswala ya ulimwengu

Ibrahim Olabi, mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Syria kwa Umoja wa Mataifa, anahutubia mkutano wa Baraza la Usalama juu ya hali hiyo nchini Syria. Mikopo: Picha ya UN/Evan Schneider na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Novemba 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Novemba 12 (IPS) – Miezi…

Read More