Tujitazame upya wapi tulijikwaa | Mwananchi

Vurugu zilizotokea nchini siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito katika historia ya Tanzania. Maisha ya watu yamepotea, wengine wamejeruhiwa, mali za umma na za binafsi zimeteketea kwa moto, huku miundombinu muhimu kama barabara, vituo vya mwendokasi, ofisi za Serikali na magari, mali za watu binafsi yakiwamo magari, vituo vya mafuta na…

Read More

Mechi moja kumpa mabilioni Mayele

Ushindi wa mchezo wa kesho, Alhamisi, Novemba 13, 2025 dhidi ya Cameroon, jijini Rabat, Morocco utakuwa na maana kubwa kwa DR Congo. Kwanza utaifanya timu hiyo itinge katika hatua ya fainali ya mechi za mchujo za kuwania tiketi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 huko Marekani kwa Kanda ya Afrika ambayo baadaye itawezesha…

Read More