Naibu Waziri aanzia kazi mtandaoni, apewa mambo saba
Dar es Salaam. Siku 12 baada ya kuteuliwa na kuapishwa, mawaziri na naibu wao kila mmoja kwa kasi na njia yake, wanawafikia wananchi wakitaka kujua changamoto zao na namna ya kuzitatua. Rais Samia Suluhu Hassan, alitangaza Baraza la Mawaziri Novemba 17, 2025, likiwa na mawaziri 27. Miongoni mwao, wapo walio ziarani mikoani kuonana ana kwa…