Somo kwa Pakistan katika Kifo cha Tamu ya Hindi – Maswala ya Ulimwenguni

Rakhi Matan anashikilia chupa za syrup ya kikohozi mikononi mwake. Hivi ndivyo alivyowapa watoto wake wiki mbili nyuma wakati walikuwa wanahisi wagonjwa. Mikopo: Zofeen Ebrahim/IPS na Zofeen Ebrahim (Karachi, Pakistan) Jumanne, Novemba 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KARACHI, Pakistan, Novemba 11 (IPS) – Wakati watoto 23 walikufa katika Madhya Pradesh ya India baada…

Read More

Kamati Kuu Chadema yajipanga kutoa tamko

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitoa pole kwa madhila waliyoyapaya wananchi kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025, pia kimesema kitatoa tamko kuhusu mambo yanayoendelea nchini. Aidha, chama hicho kimesema kuachiwa kwa dhamana kwa vigogo waliokuwa wakishikiliwa na polisi, hakujatokana na makubaliano yoyote na mtu yeyote, bali wameachiwa bila masharti kama…

Read More

Zungu kuanza na mambo matano

Dodoma. Spika wa Bunge la 13, Mussa Zungu ameahidi kutekeleza mambo matano muhimu katika kuendesha Bunge, ikiwamo kusimamia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025/50. Mambo mengine aliyoahidi katika uongozi wake ni uwazi, ushirikiano na kutenda haki kwa vyama vyote vyenye uwakilishi ndani ya Bunge na kusisitiza kuwa, ofisi yake itakuwa wazi kwa kila…

Read More

TLS yataja sababu kuwatetea watuhumiwa wa uhaini

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetangaza kuwatetea watuhumiwa waliokamatwa kwa tuhuma za kushiriki maandamano yaliyoambatana na vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikibainisha kuwa hatua hiyo inatokana na ukweli kwamba wengi wao wana uwezo mdogo wa kifedha.TLS imesema sababu nyingine ni kutekeleza wajibu wake wa huduma kwa…

Read More

Tanzania, Kenya zatakiwa kutekeleza sera zao za kilimo

Musoma. Mtandao wa Vikundi vya Kilimo vya Uswis (Siani) umeziomba Serikali za Tanzania na Kenya kuanza utekelezaji wa mipango iliyopo kwenye sera za kilimo za nchi kuhusu kilimo misitu, ili kuweza kuwanufaisha wakulima na wananchi wa nchi hizo mbili. Pia, mtandao huo umeiomba Serikali ya Uganda kutunga sera ya kilimo misitu ili ianze kutekelezwa nchini…

Read More