Rais Mwinyi Mgeni Rasmi SQ Zanzibar Marathon
Na Mwandishi Wetu RAIS na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt.Hussein Mwinyi anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Mbio za SQF Zanzibar Cleft zitazofannyika Oktoba 21. Mbio hizo zimeandaliwa na The Same Qualities Foundation (SQF) kwa ajii ya kusaidia kutoa huduma ya upasuaji wa midomo wazi (Sungura) imeandaa mbio zinazojulikana SQF Zanzibar Marathon zitazofanyika Oktoba…