MHE MCHENGERWA AAPA KULITUMIKIA TAIFA

Na Yohana Kidaga- Dodoma Bunge la 13 , Leo historia imeandika ukurasa mwingine wa heshima na uadilifu. Mbele ya Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Mohamed Mchengerwa ameapa kwa moyo wa uzalendo, uaminifu, na dhamira ya dhati ya kulitumikia Taifa. Mikono juu, kitabu cha katiba mkononi, moyo ukiwa umejaa heshima kwa wananchi waliomwamini…

Read More

OMO: Nawashukuru wote walionipigia kura, sina cha kuwalipa

Pemba. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amewashukuru Wazanzibari wote waliompigia kura, licha ya kutoshinda nafasi ya urais wa Zanzibar, akisema hana cha kuwalipa. Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), yalionyesha mgombea wa CCM, Dk Hussein Mwinyi alipata kura 448,892 sawa na asilimia 74.8 akifuatiwa na Othman kura 139,399…

Read More

Kocha arusha zigo Dar City

BAADA ya upangaji wa makundi ya road to BAL Elite 16 kufanyika, wababe wa kikapu nchini, Dar City imeshauriwa kusajili nyota wengine wapya wenye uzoefu ili waisaidie kutimiza lengo la kuleta ubingwa Afrika hapa nchini. Mashindano hayo ya hatua ya pili yanalenga kuiwezesha timu hiyo kufuzu Ligi ya Kikapu Afrika (BAL), ambapo imepangwa katika kundi…

Read More