Simba, Yanga zabisha hodi TFF
TAIFA Stars itacheza mechi moja dhidi ya Kuwait, baada ya viongozi wa klabu za Simba na Yanga kugonga hodi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba mastaa wanaoshiriki michuano ya CAF kurejea katika vikosi vyao mapema. Stars iko katika ratiba ya mechi ya kirafiki kalenda ya FIFA, ikijipanga kuvaana na Kuwait, Novemba 14, jijini Cairo, Misri…