Mawakili wa Heche Waomba Siku Tatu kuwajibu Jamhuri

Na Mwandishi Wetu MAWAKILI wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche katika shauri la kushikiliwa kwa kiongozi huyo, wameiomba Mahakama iwape siku tatu kwa ajili ya kufanya utafiti na kujipanga kujibu pingamizi za upande wa Jamhuri. Mawakili hao wakiongozwa na Selemani Matauka akisaidiana na mawakili Fredrick Msacky, Paul…

Read More

Mamilioni Yanakusubiri Ndani ya Meridianbet Leo

WAKALI wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa huku timu zingine zikienda kwenye mapumziko ya Kimataifa, kuna ligi nyingine za pesa zitaendelea huku wewe ukiwa na nafasi ya kupiga pesa. BRAZIL SERIE A, itaendelea kwa mechi kibao ambapo Flamengo watacheza dhidi ya Santos FC ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 42. Mara ya mwisho kukutana,mwenyeji…

Read More

Lissu Ashindwa Kufikishwa Mahakamani Kwa Sababu za Kiusalama

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu hadi Jumatano Novemba 12, 2025 baada ya upande wa Jamuhuri kueleza kuwa Lissu ameshindwa kuletwa kwa sababu za kiuslama. Mapema leo wakili wa Serikali Mwandamizi, Tawabu Issa akisaidiana na wakili wa serikali Mwandamizi…

Read More

Heche, vigogo Chadema waachiwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limewaachia kwa dhamana viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwemo John Heche ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara. Kwa mujibu wa wakili wao, Hekima Mwasipu, dhamana hiyo inawataka viongozi hao walioachiwa jioni ya leo Jumatatu, Novemba 10, 2025 kuripoti kesho Jumanne saa tano asubuhi…

Read More

Meridianbet Missions Kugeuza Mizunguko kuwa Mafanikio

MERIDIANBET imeamua kuvunja mipaka kwa kuleta kitu kipya kabisa, Meridianbet Missions. Huu ni mfumo wa kiubunifu unaochanganya michezo ya sloti na ushindani wa kimkakati. Sasa, kila mzunguko unakuwa zaidi ya burudani, ni hatua ya kuelekea mafanikio halisi, zawadi kubwa, na hadhi ya kipekee kwa wachezaji wanaothubutu kufuata misheni yao. Katika dunia ya Meridianbet Missions, wewe…

Read More

WAJASIRIAMALI TZ WAPONGEZA SERIKALI KUWEZESHA USHIRIKI WAO MAONESHO YA NGUVU KAZI KENYA

Na; OWM (KVAU) – Nairobi Wajasiriamali wa Tanzania wamepongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwawezesha kushiriki Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), maarufu kama Nguvu Kazi au Jua Kali, yanayoendelea jijini Nairobi, Kenya. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wajasiriamali…

Read More

Morice Abraham amuibua kocha Simba, aomba ulinzi

WAKATI nyota ya kiungo Morice Abraham ikizidi kung’ara ndani ya Simba, kocha wa zamani wa kikosi hicho, Fadlu Davids ameshindwa kujizuia na kuweka wazi kama kuna kitu klabu hiyo imelamba dume msimu huu, ni kumsajili mchezaji huyo. Morice aliyekuwa akiichezea RFK Novi ya Serbia, ametua Simba msimu huu akisajiliwa na Fadlu kabla ya kocha huyo…

Read More