UDSM yakoleza kasi elimu kidijitali

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanza safari ya kutekeleza mkakati wa kutoa elimu kidijitali kwa kuunganisha kampasi zake zote kwa teknolojia na mawasiliano ili kutoa nafasi kwa shughuli za kitaaluma kufanyika popote. Hatua hii ni utekelezaji wa mpango wa miaka 10 (2022- 2032) wa kukifanya chuo hicho kuwa kampasi janja…

Read More

Ukitaka Taarifa Zote za Michezo Ingia Meridianbet Sport Portal

MERIDIANBET Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Meridianbet Watoa Msaada wa Mashuka kwa Hospitali ya Ndumbwi

SIKU ya leo Novemba 28, 2025 Meridianbet imeendelea kuthibitisha kuwa biashara inaweza kuwa daraja la matumaini kwa jamii. Kampuni hiyo imetoa mashuka mapya kwa Hospitali ya Ndumbwi, tukio lililoonesha kuwa uwekezaji katika ustawi wa jamii ni sehemu ya utamaduni wao. Katika hafla ya kukabidhi msaada huo, Afisa Habari wa Meridianbet, Nancy Ingram, alisisitiza kuwa kampuni…

Read More

Mikopo inavyoteteresha ndoa, malezi ya watoto Makambako

Njombe. Tabia ya kuchukua mikopo bila kuwashirikisha wenza inatajwa kuwa chanzo cha migogoro mingi na wakati mwingine kusababisha kuvunjika kwa ndoa na watoto kulelewa na mzazi mmoja, changamoto iliyoshuhudiwa katika halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe. Hali hiyo hujitokeza baada ya mmoja wa wanandoa kuchukua mikopo kwenye vikundi bila ya kumshirikisha mwenza wake na…

Read More

DKT. KIJAJI ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA UHIFADHI

Na Kassim Nyaki, Karatu. Waziri wa Maliasili na utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameelekeza taasisi za uhifadhi kuimarisha matumizi ya teknolojia za kisasa katika uhifadhi na ulinzi wa rasilimali za wanyamapori ili kupunguza migogoro kati ya binadamu na wanyamapori. Dkt. Kijaji ametoa maelekezo hayo leo tarehe 28 Novemba, 2025 wakati akizungumza na Menejimenti ya…

Read More