Maaskofu walilia amani inayozingatia haki

Dar es Salaam. Viongozi wa Kanisa Katoliki nchini wametoa wito wa kuendelea kufanywa maombi, kujitathmini kama taifa, na kusisitiza amani itakayozingatia haki, ili kuepuka kujeruhi na kupoteza heshima ya Taifa kutokana na vurugu na machafuko. Msisitizo wa viongozi hao wa kiroho ni kuwepo hali ya kukubali ukweli kwamba zipo sababu za msingi zilizoifikisha hatua hiyo,…

Read More

Masai akiri Bara mziki mnene

NAHODHA wa Mtibwa Sugar, Oscar Masai amesema licha ya kupanda daraja wakitwaa taji la Championship wamekutana na ligi dume ambayo inawaamsha kujishikilia kabla ya kurudi walikotoka huku akitaja kuwa ujio wa kocha Yusuf Chippo utaongeza mbinu za kuiinua timu hiyo kiushindani. Mtibwa Sugar imerudi Ligi Kuu baada ya kuangukia Championship kwa msimu mmoja na tayari…

Read More

Dk Kaushik: Kuna ongezeko vifo vya mapema vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza

Dar es Salaam. Takwimu zikionyesha zaidi ya asilimia 34 ya vifo vyote nchini, vinatokana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs). Daktari bingwa mbobezi wa magonjwa ya ndani na kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema kuna ongezeko la vifo vya mapema vitokanavyo na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyoambukiza ni pamoja na saratani, kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, afya…

Read More

Sare yaipa mzuka JKT Queens CAFWCL

KOCHA wa JKT Queens, Abdallah Kessy, amesema kikosi hicho bado kina nafasi nzuri ya kufanya vizuri kwenye mchezo ujao dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast, utakaochezwa Jumatano hii kwenye Uwanja wa Suez Canal jijini Ismailia, Misri. JKT Queens ambao ni wawakilishi pekee wa ukanda wa CECAFA katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa…

Read More

Segeja awagomea maafande wa Prisons

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Abdulkarim Segeja, ameachana rasmi na kikosi hicho cha maafande, baada ya kugoma kuongeza mkataba mwingine, huku taarifa zikieleza kuna ofa mbalimbali ambazo menejimenti yake inazifanyia kazi. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho katika dirisha dogo la Januari 2023, akitokea Copco ya jijini Mwanza, alisaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea…

Read More

Wagosi warudi kuitafuta dawa | Mwanaspoti

BAADA ya mapumziko ya wiki mbili, kikosi cha Coastal Union kimerejea mazoezini kujinoa kwa michezo ya ligi iliyo mbele yake huku kocha Mohammed Muya akilia na washambuliaji. Muya ambaye alijiunga na timu hiyo akichukua mikoba ya Ali Muhammed Ameir, ameiongoza katika mechi mbili akiambulia pointi mbili, kwa sare dhidi ya Mtibwa Sugar ugenini na dhidi…

Read More

IGP, wenzake wamwekea pingamizi Heche, kesi yaahirishwa

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na wenzake wengine watano, ambao ni wajibu maombi katika shauri la maombi ya kushikiliwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Heche, wamemwekea pingamizi mwanasiasa huyo. Shauri hilo la maombi lilifunguliwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam na mawakili…

Read More