Vipigo KMC vyamliza Saliboko | Mwanaspoti
KMC jana ilipokea kipigo cha tano mfululizo katika Ligi Kuu Bara baada ya kufumuliwa na Yanga mabao 4-1, huku klabu ikiwa mkiani mwa msimamo na mmoja ya nyota wa timu hiyo, Daruwesh Saliboko amekiri vipigo hivyo vinawaumiza na wanajipanga upya. Kikosi hicho cha kocha Marcio Maximo ndio timu iliyofunga mabao machache (mawili) na kufungwa 10…