Josiah asuka mipango Dodoma Jiji

KOCHA wa Dodoma Jiji, Amani Josiah amesema katika kipindi hiki ambacho Ligi Kuu Bara imesimama anapambana kutengeneza utimamu mzuri wa mwili kwa wachezaji wa kikosi hicho, kabla ya pambano lijalo dhidi ya Namungo ugenini Novemba 21, 2025. Josiah alijiunga na timu hiyo Oktoba 16, 2025, baada ya kocha raia wa Rwanda, Vincent Mashami, aliyetangazwa kukiongoza…

Read More

Mtibwa Sugar yamgomea Mkenya | Mwanaspoti

MABOSI wa Mtibwa Sugar wameweka ngumu kwa kocha mpya wa kikosi hicho, Mkenya Yusuf Chippo aliyependekeza aje hapa nchini na msaidizi wake mmoja wa kufanya naye kazi, jambo ambalo limegonga mwamba na amejulishwa wengine atakutana nao akifika. Chippo aliyeachana na Murang’a SEAL ya Kenya tangu Agosti 21, 2025, yupo katika hatua za mwisho za kujiunga…

Read More

Mashujaa kuna kitu kinapikwa kwa Ismail Mgunda

KOCHA wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema anapambana kuhakikisha mshambuliaji wa kikosi hicho, Ismail Mgunda anarejea katika kiwango bora kama mwanzoni, licha ya ushindani mkubwa katika eneo hilo na washambuliaji wengine walio kikosini. Nyota huyo aliitumikia Mashujaa msimu wa 2024-2025, kisha baadaye kuuzwa kwenda AS Vita Club ya DR Congo dirisha dogo la Januari 2025, ingawa…

Read More

Yanga yaishusha Simba kileleni, ikiizamisha KMC

YANGA imempiga KMC Kireno kwa kuichapa mabao 4-1 ikiishusha Simba katika  msimamo wa Ligi Kuu Bara angalau kwa wiki kadhaa wakati ligi ikienda mapumziko. Yanga imefikisha pointi 10 baada ya kushinda mechi zake tatu na kutoa sare moja, ikiwarudisha Simba hadia nafasi ya pili ikiwa na pointi tisa, sawa na Pamba Jiji iliyo nafasi ya…

Read More

Kisa Yanga, kiungo Simba presha tupu

KIUNGO nyota wa JS Kabylie ya Algeria, Babacar Sarr aliyewahi kukiwasha Msimbazi misimu miwili iliyopita, ameitaja Yanga ni timu ngumu na wanayoihofia katika Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na kuwa na wachezaji wenye uzoefu mkubwa. Sarr na JSK wamepangwa kundi moja na Yanga,…

Read More