‘Wenyeviti wa mitaa walioshinda udiwani kujiuzulu’
Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wenyeviti wa Serikali za mitaa wakishinda udiwani kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema inasubiri taarifa rasmi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kubaini walioshinda ili mitaa husika ifanye uchaguzi mdogo. Tamisemi inayosimamia uchaguzi wa…