Wadau wafunguka kauli ya Nchimbi kuhusu maridhiano
Dar es Salaam. Kukiri makosa, kuepuka kunyoosheana vidole, kuponya majeraha na kusitisha kamatakamata ndiyo mambo yaliyopendekezwa na wadau wa kada tofauti, akiwamo Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza. Wadau hao wamesema njia hiyo itasaidia kuwezesha kufanyika kwa maridhiano nchini na kufikiwa mwafaka tarajiwa. Wamesema kwa kufanya hivyo…