Kulandana atoa tahadhari | Mwanaspoti

KIUNGO wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana amesema ongezeko la wachezaji ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi kukamilisha usajili kwenye mfumo limeongeza chachu ya ushindani huku akiitahadharisha Pamba Jiji. Fountain Gate imerejea mazoezini Jumatano wiki hii tayari kwa ajili ya kujiweka sawa na mechi zijazo za Ligi Kuu Bara huku ikielezwa kurudi kwao mapema ni…

Read More

Kakolanya ana hesabu kali timu ya Taifa

KIPA namba moja wa Mbeya City, Beno Kakolanya amesema bado anaamini ana nafasi ya kurejea katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, huku akiwapongeza makipa wote walioitwa kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Kuwait itakayopigwa Novemba 14, 2025 jijini Cairo, Misri. Stars itacheza mechi hiyo chini ya benchi jipya la…

Read More

Kama utani… CAF imewarudisha Bongo kivingine

TIMU nne za Tanzania zinazoshiriki hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika zimeshajua zinakutana na wapinzani gani katika mechi sita zikiwa ni Yanga, Simba, Azam FC na Singida Black Stars. Yanga iko Ligi ya Mabingwa ikiangukia kundi  B linalojumuisha timu kama Al Ahly (Misri), JS Kabylie (Algeria) na AS…

Read More

Majaribio chanjo mpya ya malaria yaonyesha matumaini

Dar es Salaam. Chanjo mpya ya majaribio ya malaria iitwayo SUM-101 imeonyesha matokeo ya kutia moyo katika jaribio la kwanza miongoni mwa watu wazima nchini Tanzania, ambao tayari walikuwa wamewahi kuambukizwa ugonjwa huo. Utafiti huo ulioongozwa na Aina-ekisha Kahatano na Maxmillian Mpina kutoka Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI), ulibaini kuwa chanjo hiyo ni salama,…

Read More

Kujitoa kwa Dk Tulia kugombea uspika kwazua mjadala

Dar es Salaam. Licha ya kuzua mjadala, kujitoa kwa Dk Tulia Ackson kwenye kinyang’anyiro cha uspika kunaweza kufananishwa na ilivyokuwa wakati wa mabadiliko ya maspika wengine, kulingana na mazingira mapya ya uongozi wa nchi. Dk Tulia ameacha alama kadhaa ikiwamo msisitizo wake katika utawala wa sheria, uwezo wake wa kuleta utulivu bungeni, na zaidi ya…

Read More

Viongozi wa juu Chadema matatani

Dar/Bukoba. Wakati Jeshi la Polisi likitangaza kuwasaka watu wengine 10 kwa makosa ya kupanga, kuratibu na kutekeleza matukio ya vurugu, ni dhahiri kwamba safu yote ya uongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) itakuwa mikononi mwa jeshi hilo. Viongozi waandamizi wa chama hicho wamekuwa wakikabiliwa na kesi mbalimbali, jambo linalowafanya kukamatwa na…

Read More

Waathirika wa maandamano Arusha waiangukia Serikali

Arusha. Baadhi ya wananchi waliopata hasara ya biashara zao kuporwa na nyumba kuteketezwa kwa moto kufuatia maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, 2025, wameiomba Serikali iwafute machozi ili waweze kurejesha maisha yao kama yalivyokuwa awali na waliohusika wachukuliwe hatua za kisheria. Pia, wameishauri Serikali iweke utaratibu utakaowezesha wananchi wenye nia ya kufikisha kero zao kwa njia ya…

Read More

Bei za mafuta zapaa Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta isipokuwa mafuta ya taa pekee. Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa leo Novemba 8, 2025 kwa vyombo vya habari na kitengo cha uhusiano Zura, bei mpya zinaanza kutumika kesho Novemba 9, 2025. Katika taarifa hiyo ambayo kitengo cha…

Read More

OMO awataka viongozi kufuata maadili ya dini kudumisha amani

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amewahimiza wananchi na waumini wa dini ya Kiislamu kuzingatia misingi ya malezi ya kiimani katika kulinda amani na ustawi wa jamii, ili kulinusuru Taifa. Othman ameyasema hayo jana Ijumaa Novemba 07, 2025, alipojumuika na waumini wa Kiislamu na wananchi, katika ibada ya Ijumaa, iliyofanyika Msikiti wa…

Read More