Vyuo kufunguliwa kuanzia Novemba 17

Dar es Salaam. Baada ya kusogezwa mbele kwa ratiba ya kufungua taasisi za elimu ya juu kufuatia vurugu zilizotokea Oktoba 29, Serikali hatimaye imetangaza tarehe mpya ya kurejea vyuoni kwa wanafunzi. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iliyotolewa leo Novemba 8, 2025, vyuo vyote vya umma na binafsi vitafunguliwa kuanzia…

Read More

Serikali yathibitisha kupatikana mwili wa Joshua

Dar es Salaam. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imethibitisha taarifa za kupatikana kwa mabaki ya mwili  wa mtanzania Joshua Loitu Mollel (21) aliyeuwawa nchini Israel. Joshua alikuwa miongoni mwa vijana 260 wa Kitanzania waliokwenda Israel kwenye mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo chini ya mpango wa ushirikiano wa Tanzania…

Read More

Matukio ya Oktoba 29 yalivyoathiri sherehe, watoa huduma

Dar es Salaam. Baadhi ya shughuli za harusi zilizopangwa kufanyika mwishoni mwa Oktoba na mwanzoni mwa Novemba zimeahirishwa kutokana na maandamano yaliyozua vurugu Oktoba 29, 2025. Kuahirishwa huko kumevuruga ratiba za washehereshaji, wapambaji na watoa huduma wengine wakiwamo wa chakula, keki, mapambo na kumbi. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya watoa huduma wamejikuta katika mgogoro…

Read More

Ushindi Upo Nje Nje Siku ya Leo na Meridianbet

WAKALI wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajaili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi za leo hivyo bashiri sasa. EPL pale mapema kabisa Tottenham Spurs watakipiga dhidi ya Manchester United ambapo tofauti kati yao ni magoli ya kufungwa na kufunga. Mara ya mwisho kukutana ilikuwa kwenye fainali ya Europa…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, uliyofanyika kwa njia ya mtandao tarehe…

Read More