China, Urusi zampongeza Samia, zaahidi ushirikiano

Dar es Salaam. Rais wa China, Xi Jinping amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kushinda na kuapishwa kuiongoza Tanzania, akiahidi ushirikiano zaidi miongoni mwa mataifa hayo mawili.Mbali na salamu za Jinping, pia Rais Samia alipokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin uliowasilishwa kwake na Sergei Kiriyenko, Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, juzi…

Read More

Wakulima, wafanyabishara wa mbolea kupigwa msasa

Mbeya. Wakati msimu wa kilimo ukianza, wakulima 3,200 wa Nyanda za Juu Kusini wanatarajia kupatiwa mafunzo yatakayowajengea uwezo wa kulima na kuzalisha kwa tija yatakayotolewa na Malaka ya Udhibiti wa Mbolea (TFRA) katika kanda hiyo. Mbali na wakulima hao, wafanyabiashara wa mbolea 640 nao watakuwa sehemu ya wanufaika wa mafunzo hayo yanayolenga kuelimisha matumizi sahihi…

Read More

Niffer, wenzake 239 kizimbani kwa uhaini

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer na wenzake 239 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi ya uhaini inayotokana na maandamano ya kupinga uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Niffer, aliyekamatwa mapema kabla ya siku ya kupiga kura na wenzake hao waliokamatwa siku ya kupiga kura Oktoba 29, 2025 katika…

Read More

Dk Tulia akitoa kwenye kinyang’anyiro akiacha maswali

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametangaza kujiondoa katika kinyang’anyiro cha kugombea tena nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi ambayo alikuwa akiitetea. Hata hivyo, juhudi za kumpata Dk Tulia Ackson kwa njia ya simu hazikufanikiwa, kwani hakupokea simu yake licha ya kupigiwa mara kadhaa. Lakini, msaidizi wake binafsi,…

Read More

Kiungo Simba SC awekwa mtu kati

SIMBA iliyo chini ya Meneja Dimitar Pantev inatarajiwa kushuka uwanjani usiku wa leo Jumamosi kukabiliana na JKT Tanzania, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza mapema hesabu za usajili wa dirisha dogo zikisalia siku 39 kabla dirisha kufunguliwa. …

Read More

RT yampigia chapuo Simbu | Mwanaspoti

Zikiwa zimesalia siku mbili pekee kufungwa kwa zoezi la upigaji kura za kuwatafuta wanariadha bora duniani kwa mwaka 2025, Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limewaomba wadau kumpigia kura nyota wa mbio ndefu, Alphonce Simbu, ili kuweka historia mpya kwa taifa. Simbu ameweka rekodi ya kipekee kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kufuzu katika hatua ya mwisho…

Read More