Baada ya mechi saba ZPL, JKU yamfyeka Kocha Bausi

TIMU ya JKU, imesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Seif Bausi Nassor kwa makubaliano ya pande mbili, ikiwa ni baada ya kuiongoza katika mechi saba za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu 2025-2026. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Novemba 7, 2025 na Katibu Mkuu wa JKU, Khatib Shadhil Khatibu, imesema: “Jeshi la Kujenga Uchumi…

Read More

Kocha JKT Tanzania kiroho safi Taifa Stars

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally aliyeteuliwa kuwa msaidizi wa Miguel Gamondi wa Singida Black Stars kuinoa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ amesema ni fursa na hatua nyingine kwake kuendelea kujifunza vitu tofauti. Kocha Gamondi na Ally wamepewa jukumu hilo la kuinoa Stars katika michuano ya Afcon itakayoanza Desemba kukabiliana na Uganda, Nigeria na Tunisia,…

Read More

Ninja, TRA United kuna kitu kinaendelea

MABOSI wa TRA United wanaendelea kusuka mambo kimyakimya ili kuwasapraizi wapinzani wao katika Ligi Kuu Bara msimu huu ikidaiwa wameanza kupiga hesabu ya kuimarisha ukuta wa kikosi hicho kwa kusaka mabeki. Mmoja wa mabeki wanaotajwa kuingia kwenye rada za timu hiyo ni beki wa zamani wa Yanga na FC Lupopo ya DR Congo, Abdallah Shaibu…

Read More

Matheo Antony ajitabiria mema Ligi Kuu Bara

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Matheo Antony amesema nyota njema huonekana asubuhi akiamini msimu huu kwake utakuwa wa kurejesha kiwango bora baada ya uliopita kukosa nafasi ya kucheza mechi nyingi za Ligi Kuu Bara. Matheo aliyewahi kuichezea Yanga, Polisi Tanzania, KMC, Mtibwa Sugar na JKT Tanzania amesema ushindani uliopo katika nafasi anayocheza kama Eliud Ambokile unamfanya…

Read More

DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA

Dkt. Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Novemba 07, 2025. Hii inamwachia nafasi Mussa Azzan Zungu na Stephen Julius Masele kuendelea na kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM. Kujiondoka kwa Dkt. Tulia Ackson kunatengeneza mazingira mapya ya kuteua…

Read More