NIFFER APANDISHWA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA YA UHAINI

MFANYABIASHARA Jennifer Bilikwija Jovin maarufu kama Niffer, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka ya uhaini na kula njama. Niffer anashtakiwa pamoja na wenzake 21 ambao ni Mwalimu, Lucianus Luchius (28), Paul Malima (28), Augustino Mulwale (30), Mohamed Kondo (30), John Mmena (26), Paul Shirima (23), Ramadhani Ramadhani (21), Levi Mkute…

Read More

Simulizi ya mganga aliyehukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya muuguzi mstaafu KCMC -1

Moshi. Ni simulizi ya kushtua ya mganga wa jadi, Omary Rang’ambo, aliyemuua kikatili muuguzi mstaafu wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Patricia Ibreck (66) na kumzika kisha akadanganya amechukuliwa na mizimu. Mauaji hayo yalitikisa mji wa Moshi na vitongoji vyake, ikizingatiwa kuwa awali, miongoni mwa waliokuwa wanashikiliwa kwa mahojiano ni mtoto wa marehemu, Wende Mrema,…

Read More

Wahadzabe wataka viongozi waliochaguliwa waikumbuke jamii yao

Mbulu. Jamii ya Wahadzabe wanaoishi kwa uwindaji wa asili, kurina asali, kuokota matunda na wakusanyaji mizizi katika bonde la Yaeda Chini, Kijiji cha Domanga, kata ya Eshkesh, Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, wameomba viongozi waliochaguliwa kwenye nafasi za ubunge na udiwani kuikumbuka jamii hiyo kwa kutatua changamoto zinazowakabili. Kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, mbunge na…

Read More

Latra Mbeya yaonya watakaopandisha nauli, wadau watoa mwelekeo

Mbeya. Wakati shughuli zikirejea rasmi jijini Mbeya baada ya vurugu wakati wa uchaguzi, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imetoa onyo kwa wamiliki na wadau wa usafirishaji kutopandisha nauli, vinginevyo sheria zitachukua mkondo wake. Hatua hii inakuja baada ya uwapo wa baadhi ya wasafirishaji kupandisha nauli tangu siku moja kabla ya uchaguzi mkuu, Oktoba…

Read More

VURUGU ZILIVYOGHARIMU MAISHA YA WASANII OKTOBA 29

Msingi wa Vurugu ni uharibifu. Hupofusha watu kwa sababu, huondoa huruma na badala yake hujaza uadui, na husababisha vitendo vya kuumiza na wakati mwingine hugharimu maisha ya Watu. Vurugu mara nyingi zimekuwa chanzo cha baadhi ya matukio mabaya zaidi ya binadamu. Kilichotokea Oktoba 29. Wananchi wachache waliongia barabarani walifanya uhalifu wa kutisha kwa kisingizio cha…

Read More

Washiriki Kili Marathon 2026 Watakiwa Kujiandikisha kwa Wakati – Global Publishers

Waandaji wa Mbio za Kimataifaiza za Masafa Marefu (Marathoni) za Kilimanjaro Premium Lager 2026 wamewasihi washiriki kujiandikisha kwa wakati kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza dakika za mwisho. Taarifa iliyotolewa na waandaaji hao inasema usajili ulianza tangu 20 Oktoba 2025 kupitia www.kilimanjaromarathon.com na mtandao wa Mixx by Yas kwa kupiga *150*01# na kufuata maelekezo. “Hii itakuwa kwa…

Read More