Watu wazima wanaweza kupata kisukari aina ya 1

Dar es Salaam. Kisukari aina ya kwanza hutokea kwa watoto mpaka umri wa kati miaka 25 mpaka 30, lakini hivi karibuni kisukari aina ya kwanza, kimeanza kujitokeza hata kwa watu wazima na mara nyingi hutambuliwa kimakosa kama kisukari aina ya pili. Kisukari aina ya kwanza hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unaposhambulia seli za…

Read More

Mtifuano wa uspika ulivyoota mizizi CCM

Dar es Salaam. Mtifuano wa nafasi ya Spika kati ya Spika wa sasa, Dk Tulia Ackson, na naibu wake, Mussa Azzan Zungu, kunaifanya nafasi ya unaibu kama hatua ya maandalizi kuelekea uspika. Hivyo ndivyo inavyoonekana kwa baadhi ya waliowahi kushika wadhifa wa Naibu Spika, ambao baadaye walijitokeza kuwania nafasi ya Spika, kana kwamba nafasi hiyo…

Read More

Vyakula sahihi wenye maumivu ya goti

Dar es Salaam. Maumivu ya goti ni tatizo linalowakumba watu wengi duniani, hususan wale wanaofanya kazi zinazohusisha kusimama muda mrefu, wanaofanya mazoezi ya nguvu, au wazee ambao viungo vyao vimeanza kudhoofika kutokana na umri.  Maumivu haya yanaweza kutokana na magonjwa kama vile baridi yabisi (arthritis), majeraha ya tishu laini, au uchakavu wa gegedu (cartilage).  Mbali…

Read More

Maganda ya matunda afya na janga kwa walaji 

Matunda ni zawadi muhimu kutoka ardhini; rangi zake za kuvutia, ladha tamu na uchachu wake vimekuwa kivutio kikubwa kwa binadamu tangu enzi za mababu.  Si chakula cha starehe pekee, bali pia ni ngome ya afya inayolinda miili yetu dhidi ya magonjwa mbalimbali. Katika dunia inayoshuhudia ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza kama shinikizo la damu, kisukari na…

Read More

Niffer, wenzake 21 wasomewa mashtaka likiwamo la uhaini

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na wenzake 21 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa kesi uhaini. Niffer na wenzake hao wamefikishwa Mahakamani hapo leo mchana, Ijumaa Novemba 7, 2025 na kusomewa mashtaka matatu, ambayo ni kula njama ya kutenda kosa la kuharibu miundombinu na mawili ni ya uhaini….

Read More

Gamondi awapa masharti nyota watatu Pamba Jiji

WAKATI Singida Black Stars ikijiandaa kuikabili Pamba Jiji, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amewaruhusu wachezaji watatu walio kwa mkopo kucheza ili kutaza viwango vyao. Mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara itachezwa kesho Jumamosi Novemba 8, 2025 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuanzia saa 10:00 jioni. Singida Black Stars ina wachezaji watatu imewapeleka…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa mauaji ya bodaboda alivyonusurika adhabu ya kunyongwa

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Moshi imemuachia huru Denis Shirima, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumuua dereva bodaboda, Juma Mwesi, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa na kuacha mashaka yaliyompa faidha mshitakiwa. Hukumu hiyo ambayo imepatikana katika mtandao wa Mahakama, imetolewa Novemba 5, 2025 na Jaji Safina Simfukwe, aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo…

Read More