Kabla Mkutano Mkuu, vigogo Simba wanyoosheana vidole

HALI si shwari ndani ya Simba kutokana na sintofahamu iliyojitokeza ikiwamo vigogo wa klabu hiyo kunyoosheana vidole ikiwa zimesalia siku mbili tu kabla ya kufanyika kwa mkutano mkuu Jumapili hii kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Simba itafanya mkutano huo wa kikatiba ambapo wanachama wa klabu hiyo watajadili kuhusu mustakabali wa timu…

Read More

Mrithi wa Mnguto kupatikana Dar kesho Jumamosi

MBIVU na mbichi ya safu mpya ya uongozi ya Bodi ya Ligi (TPLB) itajulikana kesho Jumamosi, Novemba 29, wakati Mkutano Mkuu wa 12 wa Baraza Kuu la bodi hiyo utakapofanyika jijini Dar es Salaam ukiambatana na Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip utaambatana na…

Read More

Mkuu wa UN analaani mapinduzi ya Guinea-Bissau, anahimiza kurejeshwa kwa agizo la katiba-maswala ya ulimwengu

Un Katibu Mkuu António Guterres “anajali sana na matukio ambayo hayajafanyika,” msemaji wake alisema katika taarifa marehemu Alhamisi. “Analaani vikali mapinduzi yaliyopatikana na mambo ya jeshi na jaribio lolote la kukiuka agizo la katiba.” Alisisitiza hilo Kupuuza “mapenzi ya watu ambao walipiga kura yao kwa amani wakati wa uchaguzi mkuu wa Novemba 23 hufanya ukiukaji…

Read More

WATENDAJI MSIKWAMISHE SHUGHULI ZA VIJANA – NANAUKA

Na. OR- MV, Songea Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka  ameendelea na ziara yake maalum ya kukutana na kuzungumza na Vijana katika Mkoa wa Ruvuma ambapo ameonya dhidi ya watendaji wa Serikali  wanaokwamisha shughuli za Vijana kuwa hawatavumiliwa. Akiwa Wilayani Songea leo Ijumaa (28 Novemba 2025) amekutana na Vijana wajasiliamali…

Read More

Mrithi wa Mnguto kupatikana Dar

MBIVU na mbichi ya safu mpya ya uongozi ya Bodi ya Ligi (TPLB) itajulikana kesho Jumamosi, Novemba 29, wakati Mkutano Mkuu wa 12 wa Baraza Kuu la bodi hiyo utakapofanyika jijini Dar es Salaam ukiambatana na Uchaguzi Mkuu. Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia saa 2:00 asubuhi kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip utaambatana na…

Read More

Chama la Wana Lajinasua mkiani

WAKATI mechi za Ligi ya Championship zikitarajiwa kuendelea tena keshokutwa Jumapili, Stand United (Chama la Wana), baada ya kucheza mechi sita mfululizo bila kupata ushindi hatimaye juzi ilizinduka kwa kuichapa TMA Stars kwa bao 1-0 na kujinasua mkiani mwa msimamo wa ligi hiyo. Chama la Wana iliyokuwa imeganda mkiani kutokana na kudaiwa pointi zilizotokana na…

Read More

Likizo, skrini na mustakabali wa watoto

Dar es Salaam. Mitaani kinachosikika kwa kiasi kikubwa sasa ni sauti mpya, kelele za watoto waliomaliza mitihani, wakicheza michezo mbalimbali ikiwamo iliyo kwenye vifaa vya kielektroniki. Wanafunzi wa darasa la nne, la saba, kidato cha pili na kidato cha nne wako mtaani, wakiingia rasmi kwenye likizo ambayo wengi huiona kama mkombozi wa akili yao iliyochoka…

Read More

Rais aliyepinduliwa na jeshi Guinea-Bissau akimbilia uhamishoni

Rais wa Guinea-Bissau aliyeondolewa madarakani siku chache zilizopita na jeshi la Taifa hilo, Umaro Sissoco Embalo amekimbilia Senegal baada ya  kuachiliwa na vikosi vya kijeshi vilivyompokonya madaraka. Rais Embalo ambaye ni  jenerali wa zamani wa jeshi, aliingia madarakani 2020, alipinduliwa baada ya uchaguzi wa Taifa hilo kukamilika wakati akisubiri kutangazwa kwa matekeo na tume ya…

Read More