MWANDISHI WA HABARI MANENO SELANYIKA AFARIKI DUNIA

:::::: Mwandishi wa habari , Maneno Selanyika aliyefariki dunia Oktoba 29, 2025, wakati akiwa njiani kuelekea dukani karibu na makazi yake, baada ya kukumbana na vurugu zilizozuka eneo hilo kwa siku hiyo.  Taarifa kutoka kwa familia na Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DAR-PC) zinaeleza kuwa tukio hilo lilitokea ghafla na…

Read More

JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA KUIMARISHA ULINZI KARIAKOO

Na Mwandishi wetu ,Dar es salaam  KUTOKANA na uvunjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu uliojitokeza kwa siku  nne hadi tano  zilizopita kwa baadhi ya maeneo hapa nchini ,wadau mbalimbali wamejitokeza na kulaani vikali vitendo hivyo. Wamedai kwamba hali hiyo  haipaswi kujitokeza tena katika nchi  yetu nakwamba haikuzoeleka kwa wananchi na  kwenye macho ya watanzania …

Read More

SALAMU ZA PONGEZI KWA MHESHIMIWA HAMZA SAIDI JOHARI

 :::::::: Chama cha Mawakili wa Serikali kinatoa pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Hamza Saidi Johari kwa kuteuliwa tena kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi huu unaakisi ubobezi na uadilifu wake katika taaluma ya sheria, sambamba na matakwa ya Ibara ya 59 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotaka Mwanasheria Mkuu awe na sifa…

Read More